TIGER WOODS ameendelea kufanya vizuri kwenye michuano ya AUGUSTA MASTERS na sasa anakamata nafasi ya tatu akipiga EIGHT under per.
WOODS anatanguliwa na LEE WESTWOOD na PHIL MICKELSON baada ya kumaliza mzunguko wa tatu uliokuwa wa ushindani.
Leo ni siku ya mwisho ya michuano hii na WOODS bado anasema anashauku ya kushinda.