Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)

Thursday
Sep 09th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home You and Your Family Woods kurejea mashindanoni

Woods kurejea mashindanoni

Mcheza Gofu mashuhuri duniani,Tiger Woods

Mcheza gofu nambari moja duniani TIGER WOODS atangumza na wanahabari nusu saa ijayo huko MAREKANI.

WOODS anatarajiwa kuzungumzia kurejea kwake kwenye mashindano makubwa ya gofu ya AGUSTA MASTER kuanzia tarehe nane mwezi huu.

WOODS  jana alifanya mazoezi ya wazi akijiandaa na michuano hii, ikiwa ni mashindano yake ya kwanza toka mwezi NOVEMBA  mwaka jana alipopata ajali ya gari kwenye eneo la makazi yake baada ya kufarakana na mkewe ELIN  kwasababu ya TIGER WOODS  kutoka nje ya ndoa na akina dada wapatao 12, jambo ambalo limeharibu sana taswira  ya ndoa yake.

Last Updated ( Thursday, 08 April 2010 07:47 )  
Banner