Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)

Listen TBC Live
      TBC Taifa
      TBC FM
  • 0
  • 1
  • 2
prev
next

Mgomo wa Madaktari Waendelea Kuleta Machungu kwa W

News image

Sakata la mgomo wa madaktari unaoendelea katika baadhi ya hospitali hapa nchini limeendelea kuleta machungu kwa wagonjwa na jamaa zao licha ya serikali kuwasihi madaktari hao kurejea kazini wakati madai yao mengine yakiwa yanashughulikiwa. Mwandishi wa TBC  mkoani MOROGORO, MONICA LYAMPA...

Read more

Usahili wa Kidato cha Kwanza Uharakishwe- Kawambwa

News image

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. SHUKURU KAWAMBWA amewaagiza maafisa elimu kote nchini kuharakisha kusambaza muongozo mpya wa wizara hiyo unaoagiza  wakuu wa shule za sekondari nchini kuwafanyia usaili wanafunzi waliofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu. ...

Read more

Fedha za UKIMWI Ziwafikie Walengwa- Kandoro

News image

Mkuu wa mkoa wa MBEYA ABBAS KANDORO amesikitishwa na taasisi, asasi na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali ambayo yamekuwa yakipatiwa fedha kwa ajili ya mapambano dhidi ya UKIMWI lakini fedha hizo zinadaiwa haziwafikii walengwa. KANDORO ametoa kauli yake wakati wa mkutano wa wadau wa mapamban...

Read more

Viongozi Kilwa Wahimizwa Usimamizi Mzuri wa Ardhi

News image

Mkuu wa wilaya ya Kilwa NURDIN BABU amewataka madiwani, wenyeviti wa serikali na watendaji wa vijiji kusimamia vizuru suala la  ardhi katika maeneo yao ili kuhakikisha akina mama wajane na wenye ulemavu  hawadhulumiwi ardhi BABU ametoa kauli hiyo wakati akifungua mafunzo ya kuwajeng...

Read more

Jaji Ramadhani Azungumza Kusimamishwa kazi kwa

News image

Jaji Mkuu Mstaafu, AUGUSTINO RAMADHANI amesema ni jambo la kawaida hasa katika nchi za jumuiya ya madola kuunda jopo maalum kuchunguza majaji wanaotuhumiwa kwenda kinyume na taratibu za kinidhamu. Jaji RAMADHAN alikuwa akitoa ufafanuzi kuhusu uamuzi wa serikali ya KENYA kumsimamisha kazi na k...

Read more

Serikali yatenga sh. Miliono 50 Ujenzi wa uzio chu

News image

Wizara  ya Elimu  na Mafunzo  ya Amali Zanzibar  imetengewa   zaidi  ya shilingi  milioni 50  katika mwaka wa  fedha 2011/2012, kwa ajili  ya mradi wa  ujenzi  wa uzio  wa kuendeleza  ukarabati wa majengo  Shilin...

Read more

Mgomo wa Madaktari Waendelea Kuleta Machungu kwa Wananchi

Mgomo wa Madaktari Waendelea Kuleta Machungu kwa Wananchi Sakata la mgomo wa madaktari unaoendelea katika baadhi ya hospitali hapa nchini limeendelea kuleta machungu kwa wagonjwa na jamaa zao licha ya serikali kuwasihi madakt...
More:

Boko Haram washambulia kituo cha Polisi Nigeria

Boko Haram washambulia kituo cha Polisi Nigeria Wapiganaji wa kikundi cha Boko Haram katika mji wa Kano nchini Nigeria wameshambulia kituo cha Polisi katika mji huo zikiwa ni siku chache tangu kikundi hicho kilipofa...
More:

Sweden Yaombwa Kuimarisha Viwanda Tanzania

Sweden Yaombwa Kuimarisha Viwanda Tanzania Waziri wa Viwanda na Biashara DKT. CYRIL CHAMI ameiomba serikali ya SWEDEN kuendelea kuisaidia TANZANIA katika utekelezaji wa program ya kuendeleza biashara na kuwekez...
More:

Chimbuko la kuvuja kwa mitihani nchini Tanzania

Chimbuko  la  kuvuja  kwa  mitihani nchini Tanzania Chimbuko la  uvujaji wa mitihani  nchini Tanzania  lina  historia  ndefu inayoenda  sambamba  na   kuundwa kwa  BARAZ...
More:

Maporomoko yauwa watu 40 na kujeruhi 20 Papua New Guinea

Maporomoko yauwa watu 40 na  kujeruhi 20 Papua New Guinea Habari kutoka nchini Papua New Guinea zinasema watu 40 wamekufa na wengine 20 hawajulikani walipo baada ya nchi hiyo kukumbwa na maporomoko makubwa ya udongo. Kuna...
More:

Wabunge Wachangia Twiga Stars Tsh Milioni 10

Wabunge  Wachangia Twiga Stars  Tsh Milioni 10 Timu ya TWIGA STARS imeibwaga timu ya wabunge kwa magoli mawili kwa moja katika mchezo uliofanyika uwanja wa KARUME JIJINI DSM. Mchezo huo ulioandaliwa kwa lengo l...
More:
Banner