Njombe yakamilisha sensa

0
Mkuu wa mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amesema mkoa huo tayari unekamilisha zoezi la sensa ya watu na makazi.Mtaka ameyasema hayo wilayani Makete alipofika kukagua zoezi hilo, ikiwa ni wilaya mwisho...

CHADEMA yaweka pingamizi dhidi Mdee na wenzake

0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewawekea pingamizi mahakamani wabunge 19 wa viti maalum, waliovuliwa uanachama wa chama hicho ambao kwa pamoja wamefungua maombi kupinga kufukuzwa uanachama wao, huku kikiwasilisha hoja...

Tanga yakabiliwa na kesi nyingi za dawa za kulevya

0
Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma amesema mkoa wa Tanga unakabiliwa na changamoto ya uwepo wa kesi nyingi za dawa za kulevya pamoja na kesi za mashauri ya mirathi.Profesa Juma ametoa kauli...

Mrema afunga ndoa na Doreen

0
Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labor Part (TLP), Augustino Mrema leo Alhamisi Machi 24, 2022 amefunga ndoa na Doreen Kimbi katika kanisa Katoliki Parokia ya Uwomboni Kiraracha mkoani Kilimanjaro.Mke wa mzee Mrema anayejulikana kwa...

Ulaji mzuri wa chakula kwa Wanamazoezi

0
Moja kati ya elimu kubwa inayotolewa kwa umma ni pamoja na umuhimu wa kufanya mazoezi kwa afya imara japokuwa sehemu moja inayosahaulika ni namna bora ya kula kwa wafanya mazoezi.Kila mmoja anayefanya mazoezi ana...

Kifafa na Imani za kishirikina

0
Mara kadhaa wagonjwa wa kifafa wamekuwa wakikosa hudumu stahiki kutoka kwa jamii inayowazungukwa kutokana na dhana potofu juu ya ugonjwa huo na kukosekana kwa elimu ya kutosha kuhusu ugonjwa wa kifafa.Kifafa ni maradhi yanayoathiri...

Kwa nini wanaoathirika zaidi na picha za utupu ni wanawake?

0
Tunaishi kwenye ulimwengu wa kidigitali, ulimwengu huu hutufanya sote kwa wakati fulani kuwa katika mstari wa kuwa wahanga wa matukio ya picha au video zetu kusambaa mitandaoni bila ridhaa yetu ikiwa tu hatutakuwa makini....

Mchakato wa kumpata Makamu wa Rais

0
Kufuatia kuapishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Machi 19, 2021, nafasi ya Makamu wa Rais imebaki tupu.Rais Samia alikuwa akishikilia nafasi hiyo ya Makamu wa Rais tangu mwaka...

Mambo manne ya kufanya katika Siku ya Kimataifa ya Watu Wazee 2020

0
HistoriaDesemba 14, 1990, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (kwa azimio la 45/106) liliteua Oktoba Mosi kuwa Siku ya Kimataifa ya Wazee.Hii ilitanguliwa na mipango kama vile mpango wa utekelezaji wa Vienna juu ya...

Madereva na makondakta wa daladala walia na mikataba ya kazi

0
Katika sehemu ya tatu ya simulizi yetu ya asili ya daladala, tunaangazi mfumo wa ajira.Baadhi ya madereva na makondakta wa daladala wamesema licha ya umuhimu wa kazi yao lakini bado waajiri wao hawafuati maelekezo...