
Rais JAKAYA KIKWETE jana amezindua miradi MIWILI mikubwa ya aina yake wilayani SERENGETI Mkoani MARA likiwemo bwawa la MANCHIRA ambalo maji yake yatanufaisha wananchi zaidi ya elfu 40 wa mji wa MUGUMU na vijiji SITA vinavyozunguka bwawa
Kwa mujibu wa Rais KIKWETE bwawa
Hatua moja mbele ya Kimaendeleo baada ya kuzinduliwa kwa miradi MIWILI mikubwa wilayani SERENGETI likiwemo bwawa la MACHIRA ambalo limepewa jina la habari ya nchi kavu kwa kauli ya Rais JAKAYA KIKWETE ya tuliahidi tumetekeleza.
Kwa sasa hamu kubwa ya wakazi wa wilaya ya SERENGETI ni kuona barabara zinaimarisha na ujenzi wa uwanja mkubwa wa kimataifa ndege ambapo Rais KIKWETE anasema hayo yote yatafanyika lakini kwa awamu.



