
Upelelezi wa kesi inayomkabili mwandishi wa habari wa TBC, JERRY MURO, na wenzake wawili, EDMUND KAPAMA, na DEOGRATIUS MGASSA ambao ni wafanyabishara umekamilika na kesi hiyo itaanza kusikilizwa tarehe Kumi na Nne mwezi ujao wa Juni mwaka huu katika mahakama ya hakimu mkazi KISUTU.
Hatua hiyo imekuja Baada ya upande wa mashtaka ukiongozwa na MARTHA MISONGE, kueleza kwamba upelelezi wa shauri
Inadaiwa kuwa tarehe Ishirini na
Inadaiwa kuwa washtakiwa waliomba rushwa hiyo baada ya kumtishia WAGE kwamba habari zake za ubadhirifu wa fedha za umma



