
Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais uliofanyika hapo jana nchini
Kulingana na matokeo hayo MANUEL ambaye ni mrithi wa Rais ALVARO URIBE anayeondoka madarakani baada ya muda wake kumalizika atakabiliwa na duru ya pili ya uchaguzi itakayofanyika tarehe Ishirini ya mwezi ujao.
Kwa mujibu wa matokeo hayo ya awali yaliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya
Matokeo hayo yanaonyesha huenda wagombea hao wakashindwa kupata kura zitakazowawezesha kuwa washindi wa moja kwa moja hivyo kuhitaji duru ya pili ya upigaji kura ili aweze kupatikana mshindi.



