
Rais wa KYRGYZSTAN KURMANBEK BAKIYEV, aliyelazimika kuukimbia mji mkuu wa nchi hiyo BISHKEK, kufuatia ghasia za wananchi kupinga rushwa na gharama za umeme, amesisitiza kuwa hatajiuzuru wadhifa wake.

Rais wa KYRGYZSTAN KURMANBEK BAKIYEV, aliyelazimika kuukimbia mji mkuu wa nchi hiyo BISHKEK, kufuatia ghasia za wananchi kupinga rushwa na gharama za umeme, amesisitiza kuwa hatajiuzuru wadhifa wake.