Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)

Thursday
Sep 09th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home Kenya Netanyahu aghairi safari ya Marekani

Netanyahu aghairi safari ya Marekani

Waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu

Waziri Mkuu wa ISRAELI  BENJAMIN NETANYAHU, amefuta safari yake nchini MAREKANI, ambako alipanga kuhudhuria mkutano kuhusu usalama wa zana za nyuklia.

NETANYAHU amefikia uamuzi huo, baada ya kubaini kuwa MISRI na UTURUKI, zilipanga kutumia mkutano huo kuzungumzia zana za nyuklia za ISRAEL.

Badala yake mkutano huo utahudhuriwa na waziri wa Usalama na Nguvu za atomiki wa ISRAEL, DAN MERIDOR.

Last Updated ( Friday, 09 April 2010 11:06 )  
Banner