
BENKI M TANZANIA LTD imezindua huduma mpya ya kutumia mtandao wa kompyuta inayojulikana
Akizungumza na waandishi wa habari jijini DAR ES SALAAM leo Mkurugenzi wa ICT wa benki hiyo ABDUL BANDAWE amesema huduma hiyo imewekewa usalama na kampuni ya kimataifa ya ORACLE ili kulinda mteja asihamishiwe fedha zake za watu wengine.
BENKI M pia imejipanga kujipanua katika mikoa mingine hapa nchini baada ya kuongeza huduma zingine za wajasiriamali wadogo.



